ActForNature - Kiswahili

Kila mwaka tangu mwaka wa 2005, UNEP hutuza watu binafsi na mashirika yanayofanya kazi kupata masuluhisho bunifu na endelevu ya kushughulikia changamoto za aina tatu duniani za mabadiliko ya tabianchi, uharibifu wa mazingira na bayoanuai, na kemikali, uchafuzi na taka. Mabingwa hubadilisha uchumi wetu, huvumbua, huongoza mabadiliko ya kisiasa, hupambana na ukosefu wa haki ya mazingira na kupigania malighafi zetu. 

Main Heading
Tuzo la Mabingwa wa Dunia hutuza watu binafsi na mashirika ambayo huchukua hatua za kusababisha mabadiliko chanya kwa mazingira. Katika mwaka wa 2024, UNEP inatuza watu binafsi na mashirika yanayofanya kazi kupata masuluhisho bunifu na endelevu ili kubore
Compilation Video