Showing 1 - 2 of 2
2 results found
Kisa cha SEKEM kinaanzia jangwani nchini Misri na hema, trekta na piano.
Katika mwaka wa 1977, mwanzilishi wa shirika hili la maendeleo, Ibrahim Abouleish, alirudi nchini Misri baada ya miaka 20 ya kufanya kazi nje ya nchi katika kemia na famakolojia.
Wakati huo, Misri ilikuwa inakabiliwa na mtanziko. Ilihitaji kulisha idadi ya watu…